Social Icons

Alhamisi, 22 Mei 2014

WANAFUNZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI(SMMUCO) WAFUNGA BARABARA WAKITAKA KULIPWA PESA ZAO ZA MKOPO

 Wanafunzi wakiwa katika Makundi mbalimbali katika mgomo huo
 Mgomo ukiwa unaendelea huku wakidai pesa zao 

 Wanafunzi wakiwa wamefunga Njia muda huu
Hapa wakiendelea na madai yao wakiwa ni wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza wa Pili na Watatu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates