

Mwongozo cha Chama cha Mapinduzi Kiongozi wa Serikali ya Uganda(NRA).
Naibu Katibu Mkuu CCM-Bara Mh:Mwigulu Nchemba akimkabidhi Katiba Ndugu Nnsiima Emmanuel Bigirwa Mchambuzi wa Mambo ya Siasa Kutoka Serikali ya Uganda.
Mh:Mwigulu akimkabidhi kanuni za Uchaguzi zinazotumiwa na Chama cha Mapinduzi.






Hafla hii imefungua Mlango Mkubwa zaidi wa Urafiki na Umoja kati ya Chama cha Mapinduzi na Chama Kinachoongoza Serikali ya Uganda cha National Resistence Army Kutokana na Kuwekeana Malengo ya Kuendelea Kushirikiana Katika Uga wa Siasa na Nyanja zingine za Kiuchumi na Kijamii.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni