Social Icons

Ijumaa, 30 Mei 2014

MATOKEO YA UCHAGUZI MALAWI KUTANGAZWA HIVI PUNDE ,POLISI WATUMIA MABOMU KUTULIVU VURUGU MMOJA AFA


Wakati  tume ya uchanguzi nchini Malawi inataraji kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu wa Rais nchini humo hivi punde ,zimezuka vurugu kubwa kati ya makundi yanayomuunga mkono Rais Joyce Banda na wapinzani wake.

Imeelezwa  kuwa katika  vurugu  hizo zilizozuka mchana wa leo polisi  wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya  wananchi hao na kumna taarifa  ya mtu mmoja  kupoteza maisha kutokana na vurugu  hizo.

Duru  za kisiasa  kutoka nchini Malawi zinadai kuwa  hali ya amani kwa  sasa nchini  humu si swari kutokana na vurugu  hizo ambapo watu kadhaa wanaripotiwa  kujeruhiwa  vibaya na kukimbizwa Hospital kwa matibabu  zaidi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates