Social Icons

Ijumaa, 30 Mei 2014

PICHA ZA RAY C AKIWA MTAANI LEO, KUHAMASISHA MATEJA KUACHA UNGA


 
Leo Ray C Foundation tuliwatembelea waathirika wa madawa ya kulevya Kinondoni!!!
nimeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya Methadone Mwananyamala....
nimefurahisana kuskia kutoka Kwao kwamba na wao wamechoka na Maisha ya utumwa......
Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......


Ray C Foundation Pamoja inawezekana... 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates