Social Icons

Ijumaa, 30 Mei 2014

ASERNE WENGER KUSAINI MKATABA WA MIAKA MITATU ASERNAL NA KULAMBA PAUNDI 24


File photo dated 18/05/2014 of Arsenal manager Arsene Wenger celebrating outside the Emirates Stadium during the FA Cup winners parade in London. PRESS ASSOCIATION Photo. Issue date: Monday May 19, 2014. Manager Arsene Wenger admits he would always question whether Arsenal were on the right path during nine barren seasons, but now hopes people will focus on the positives following their FA Cup triumph at Wembley. See PA story SOCCER Arsenal. Photo credit should read: Anthony Devlin/PA Wire
Amepumua: Arsene Wenger akishangilia baada ya kumaliza ukame wa miaka 9 bila kombe mwezi huu baada ya kutwaa taji la FA.
Big challenge: Wenger must now turn his FA Cup winners into Premier League champions
 Chagamoto kubwa: Wenger kwa sasa anahitaji kupeleka nguvu za FA katika michuano ya ligi kuu.
ASERNE Wenger atasaini mkataba mpya wa miaka mitatu na Asernal siku chache zijazo baada ya kukubaliana na vipengelea vya mkataba huo ambao utamuweka katika klabu hiyo mpaka mwaka 2017.
Wenger alimaliza hofu ya kuondoka klabuni hapo majira ya kiangazi mwaka huu baada ya kufuta ukame wa miaka 9 bila kombe kufuatia kutwaa `ndoo` ya kombe la FA. 
Kulikuwa na hoja kuwa kama kocha huyo mwenye miaka 64 angeshindwa kumaliza ukame wa miaka 9 bila kombe Emirates basi angefutiwa kazi yake, lakini Wenger alionesha maarifa yake Wembley baada ya kuitwanga 3-2 Hull na kujihakikishia maisha London kaskazini.
 Arsenal  wamempatia Wenger mkataba wenye thamani ya paundi milioni 24 na paundi milioni 100 kwa ajili ya usajili.
Mtandao wa  Sportsmail unafahamu kuwa Wenger atasaini mkataba unaompatia paundi milioni 8 kwa kila msimu.
Na atapewa bajeti kubwa zaidi katika historia ya Asernal ili kumsaidia kushinda taji la ligi kuu msimu ujao kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2004.
Finally... Wenger gets his hands on the trophy at Wembley for the first time since 2005
 Mwisho wa siku Wenger alishika kombe mkononi mwake katika uwanja wa Wembley kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2005

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates