Social Icons

Jumatatu, 27 Julai 2015

KWA HUSAJILI HUU CHADEMA ITASONGA?



Manchester United kicheko tu kutoka Argentina S.Romeo.


van gaal
Manchester United imemsainisha kipa wa Argentina, Sergio Romero kwa mkataba wa miaka mitatu.
Kipa huyo mwenye miaka anachukua nafasi ya mkongwe Victor Valdes aliyekosana na Kocha wake Luois van Gaal.
Romero aliwahi kufanya kazi akiwa anafundishwa na van Gaal wakati wakiwa katika klabu ya AZ Alkmaar mwaka 2009.
Kipa huyo mwenye uwezo wa juu  ataongeza ushindani na David De Gea ambaye imekuwa ikielezwa anataka kujiunga na Real Madrid.

Wenger:Walcot Kusalia Arsenal

Walcot
Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott anakaribia kuongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi mwaka wa 2019.
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amefichua kuwa Walcott atasaini kandarasi mpya na timu hiyo huku akiwa amesalia na mwaka mmoja tu katika klabu hiyo.
Walcott mwenye umri wa miaka 26 aliifungia Arsenal goli la kipekee dhidi ya Wolfsburg na kuiwezesha Arsenal kuondoka na kombe la Emirates.
Aidha, kipa wa Poland, Scszesny yuko mjini Roma, nchini Italia kujiunga na As Roma baada ya kupoteza nafasi yake kwa aliyekuwa kipa wa Chelsea, Petr Cech.
Mkufunzi Arsene Wenger
Scszesny anasubiri ukaguzi wa kimatibabu kabla ya kujiunga na timu hiyo kwa njia ya mkopo.
Meneja wa Arsenal, Wenger, amekuwa chini ya shinikizo kali kuimarisha timu hiyo ili kuleta ushindani mkali kwenye ligi ya Uingereza pamoja na ligi ya vilabu bingwa Ulaya msimu huu.
Arsenal inalenga kuondoka na taji la tatu kabla ya msimu kuanza itakapochuana na Chelsea uwanjani Wembley wikendi ijayo.

Rais Obama awasili nchini Ethiopia


Rais Barack Obama wa Marekani hatimaye amewasili nchini Ethiopia katika ziara yake ya pili ya nchi za Afrika.
Ni mara yake ya kwanza tangu aongoze taifa la Marekani akiwa raisi kuhutubia wanachama hamsini na mbili wa umoja wa Afrika katika makao makuu yake yaliyoko Addis ababa.Mazungumzo yao yakiwa yamelenga kutafuta suluhu ya kutokomeza migogoro ya vita za wenyewe kwa wenyewe sudan ya kusini.
Raisi Obama,aliwasili nchini Ethiopia akiwa anatokea mjini Nairobi ambako aliwaambia wakenya kuwa amna kikomo cha kile wanachokihitaji na kusisitiza kwa kutoa angalizo katika athari za ukabila na rushwa. Tamaduni mbaya kama unyanyasaji wa kijinsia,ndoa za kulazimishwa ,tohara kwa watoto wa kike na kutopeleka watoto shuleni.

HII NI KWELI AU?BIG BROTHER AFRICA 2015 CANCELLED!


This is not good news for African viewers as

the biggest reality TV show in Africa, Big
Brother Africa (BBA) may not take place this
year as expected.
This is due to lack of sponsorship. The
organizers of the show, Africa Magic and
Endemol were unable to get sponsorship for
this year’s edition of the show.
The Manager of Multichoice Ghana, Anne
Sackey confirmed to peganews that they at
Multichoice Ghana have received notice from
MNET that this year’s edition of Big Brother
Africa will not hold.
She explained that MNET did not give them
any reasons as to why they will not be doing
the Big Brother this year, but then, she
personally thinks it’s due to sponsorship
constraints.

Bobbi Kristina mwanawe Whitney afariki

Bobbi Kristina afariki Dunia
Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina yake.
Msemaji wa familia Kristen Foster amesema Bobbi amefariki akiwa amezungukwa na familia yake ,''hatimaye yuko salama sasa kwenye mikono ya Mwenyezi Mungu,tunawashukuru wote walioungana nasi katika maombi na kuonesha upendo kwa miezi michache iliyopita''.
Bobbi ambaye alikuwa amepoteza fahamu tangu akutwe ameanguka kwenye bafu lake panapo tarehe 31 januari mwaka huu na kuwekwa kwenye matibabu huku akiwa amekosa ufahamu na mpaka kifo chake kumkuta alikuwa hajapata fahamu bado.Inakumbukwa kuwa miaka mitatu iliyopita mama yake Bobbi,alikutwa pia kwenye bafu lake amepoteza fahamu baada ya kupitliza kiwango cha dawa za kulevya na pombe mwishowe kufa.
Bobbi alikuwa mtoto pekee wa Whitney Houston na Bobby Brown,magwiji wa muziki wa miondoko ya R &B.

HII NI KWA WALE WAPENZI WA MAGARI.........

http://darkroom.baltimoresun.com/wp-content/uploads/2013/09/REU-AUTOSHOW-FRANKFURT-20-760x521.jpg

Alhamisi, 23 Julai 2015

VITU KUMI AMBAVYO UNAWEZA KUWA HAUVIJUI KUHUSU YALE HAYA MAHELKOPTA YA OBAMA YALIYOTUA KENYA NA MAKOMBANDOO




2. Its mission is to conduct long-range infiltration, exfiltration and resupply missions for special operations forces.


3. The CV-22 Osprey offers increased speed and range over other rotary-wing aircraft, enabling Air Force Special Operations Command aircrews to execute long-range special operations missions.



4. The CV-22 is equipped with integrated threat countermeasures, terrain-following radar, forward-looking infrared sensor and other advanced avionics systems that allow it to operate at low altitude in adverse weather conditions and medium- to high-threat environments.




5. It has the maximum Vertical takeoff weight: 52,870 pounds (23,982 kilograms) and maximum rolling takeoff Weight: 60,500 pounds (27,443 kilograms) 




6. The VH-71 Marine One helicopter is 64 feet long. It is outfitted to carry 14 passengers and has a galley kitchen and a lavatory. The helicopter has a range of 350 miles.




7. Marine One helicopters always fly along with 3-5 identical helicopters acting as decoys. They also constantly switch positions during the flight to keep the President’s location hidden.




8. Marine One is the call sign used when the President is on board of one of the HMX-1 Marine helicopters.


 9. In May 2014, a new contract to build the new fleet of 21 Marine One helicopters was awarded once again to Sikorsky Aircraft. It is expected to be operational by 2023, at which point they will replace the currently used Sea Kings and White Hawks.




10. The HMX-1 squadron is headquartered at Quantico, Virginia, and the fleet is supervised by more than 800 marines. Every member is require to pass a Yankee White background check, which is necessary for all Department of Defense employees working with the President or the Vice President.



Jumanne, 21 Julai 2015

JAJI MARK BOMANI MGENI RASMI UTOAJI TUZO KWA WATANZANIA WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KUTETEA HAKI NA JAMII NCHINI DAR ES SALAAM JANA‏


Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.


Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.

Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi Tuzo ya  uwazi na ukweli  Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema tuzo ya ubunifu, tuzo ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success Enterprises.




Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi tuzo  Mwandishi Saed Kubenea tuzo ya uwazi na ukweli , ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success Enterprises Dar es Salaam.
 

Jaji Mstaafu Mark Bomani katika picha ya pamoja (wa tano kulia ) wakiwa na baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Dream Success Enterprises mmoja wao ni Joshua Lawrence (kushoto) na  kulia ni Profesa Aldin Mutembei  baada ya kukabidhiwa tuzo hizo  Dar es Salaam jana.

PICHA YA SIKU.


Chris Attoh na  Damilola Adegbite.

Ulanguzi katika soka :BBC imegundua

klabu ya Champasak matatani kwa ulanguzi wa wachezaji
Wachezaji wa Afrika,miaka 14 wanasafirishwa kiharamu barani Asia, BBC yagundua.
Wanalazimishwa kusaini mikataba kinyume cha sheria.
Wachezaji 6 bado wako katika klabu ya Champasak United baada ya klabu hiyo mjini Laos kuwachukua watoto 23 kutoka Afrika magharibi kuwapeleka chuo bandia cha soka mwezi Februari.
Kanuni za FIFA zimeharamisha kuwasafirisha watoto chini ya miaka 18 kwa klabu za kigeni au chuo cha soka.
"FIFA inawasiliana na mashirikisho kadhaa kukusanya maelezo na kuchunguza suala hilo ili ihifadhi maslahi ya watoto,'' amesema afisa wa FIFA.
null
wachezaji wajikuta katika dhiki Laos
Inadaiwa kuwa klabu ya Champasak United inatarajia kufaidi kwa kuwauza wachezaji hao baadae.
Ikiwa na makao yake mji wa kusini wa Pakse, klabu hiyo imekanusha madai yote.
Kinyume kabisa na sheria za shirikisho la soka duniani, kalbu hiyo imewashirikisha wachezaji wadogo kati ya miaka 14 na 15 katika ligi za msimu huu.
Mchezajiwa miala 14 wa Liberia,Kesselly Kamara, hata amewahi kufunga bao.
Kabla ya kuchezea timu hiyo ya wakubwa, anasema kuwa alilazimishwa kusaini mkataba wa miaka 6.
Licha ya kusaiani mkataba huo, na kuahidiwa mshaharana makao, Kamara anasema kuwa hajawahi kulipwa na amelazimika kulala sakafuni katika uwanja - kama walivyofanya pia vijana wengine waliosafiri naye.
"ilikuwa mbaya sana, kwasababu huwezi kuweka watu 30 kulala katika chumba kimoja,'' Kamara, ambaye sasa anachezea klabu moja nyumbani Liberia, ameambia BBC.
Wote walisafiri kujiunga na chuo cha mafunzo ya soka cha Asia 'IDSEA Champasak' baada ya kupata mualikko kutoka kwa mchezaji wa zamani wa kimataifa kutoka Liberia Alex Karmo, ambaye kisha alikuwa kapteni wa klabu hiyo.
Mualiko huo ulipokewa kwa hamu kwa kuwa Liberia haina chuo chake cha mafunzo ya soka, licha ya kuwa nchi ya pekee Afrika kuwahi kutoa mchezaji bora wa FIFA duniani- George Weah (1995).
null
Alex Kamara anadai kuwa kocha wa watoto
"Ni chuo tapeli ambacho hakijawahi sajiliwa kisheria ,'' amesema mwandishi wa michezo nchini Liberia na mhamasishaji wa soka Wleh Bedell, ambaye alisafiri na kundi hilo mjini Laos mwezi Februari kisha akarejea nyumbani.
"Ni chuo ambacho hakina mkufunzi, wala daktari. Karno ndiye aliyekuwa kocha, meneja biashara, kila kitu ni yeye. Ni ajabu kweli.''
null
watoto wa Afrika magharibi waliohadaiwa
Kufuatia shinikizo kutoka kwa FIFA, na Umoja wa wachezaji duniani FIFPro, Champasak ililazimika kuwarudisha watoto 17 kutoka kundi lililosafirishwa na akiwemo Kamara miongoni mwao, miezi 3 iliyopita.
Lakini wachezaji 6 walikataa kurudi.
FIFPro inasema kuwa hao 6 wamesaini mikataba waliyoletewa na Karmo, anayejidai kuwa 'meneja wa wachezaji kutoka Afrika wa klabu ya Champasak' na rais wa klabu Phonesavanh Khieulavong.
null
mkataba waliosaini
Hii imesababisha Champasak kutowalipa vijana hao chochote huku ikiitisha matakwa yasiyowezekana iwapo vijana hao watataka kuondoka klabu hiyo.
Hata hivyo Karmo amesisitiza kuwa wachezaji hao wamalishwa milo mitatu kwa siku na wanalipwa kila mwezi.
"Hatuwezi kuwapa watoto hao mikataba ya kitaalamu,ila ni mikataba inayoruhusu kuwapa marupurupu,'' Khieulavong ameambia BBC.
Khieulavong wala Karmo hawakukanusha kuwepo watoto wadogo katika vyuo hivyo japo raia huyo wa Liberia anadai kuwa ni kijana mmoja wa miaka 16 - kutoka Guinea.
BBC imegundua kuwa kuna watoto 5 zaidi kutoka Liberia katika klabu hiyo.
Pamoja na wachezaji wakubwa 8 (6 kati yao wa Liberia, mmoja wa Ghana na mmoja wa Sierra Leone) wote wanaishi katika ''mazingira ya kutamausha'' kama anavyoeleza Bedell.
Kwa miezi 5 wamekuwa wakilalia magodoro membamba katika chumba kimoja ambachi hakina hata madirisha wala konji katika mlango wake.
"ni vigumu sana kuishi katika chumba ambacho hakina madirisha. Ilifanya kualal kuwa vigumu sana kwakuwa saa zote unafikiria maisha yako,'' amesema Kamara.
"Wachezaji wamewekwa katika mazingira sawa na yale ya wakati wa vita vya ndani vya Liberia ambapo watu walilazimika kukimbia makwao n akutafuta hifadhi katika majengo tupu na ukumbi,'' Bedell, ambaye alishuhudia vita vya ndani nchini mwake mwaka wa 1989-96 na 1999-2003, ameambia BBC
Uhuru wa wachezaji hao ulibanwa zaidi baada ya visa zao kumalizika mnamo mwezi Machi na kulazimika kuishi kama wahamiaji haramu.
null
watoto hawana visa wala vibali vya kufanya kazi
Sasa wana matumaini ya kupata vibali vya kufanya kazi, japo hili ni vigumu kwa kuwa wote hawajafika umri.
Karmo, ambaye anasisitiza kuwa alimlipa Kamara, amekiri kuwa wachezaji 14 wa Afrika kweli hawana vibali vya kuajiriwa, lakini amehakikisha kuwa wanazo stakabadhi za kuishi mjini Laos.
"Hakuna anayeishi knyume cha sheria. Kila mmoja anacho kibali,'' ameambia BBC.
Huku klabu hiyo ikishikilia pasi zao za usafiri tangu kuwasili kwao, ni nadra sana kwa vijana hao kutoka nje ya uwanja huo ambako wanaishi na kufanya mazoezi mara mbili kwa siku.
Lakini licha ya masaibu yao, sio kila mtu anawataka watoke Laos.
"Mimi sitaki arudi nchini Liberia hadi afaulu ndoto yake,'' amesema Bella Tapeh, zazi wa mmoja wa vijana wa miaka 17 ambaye bado yupo Pakse.
Baadhi ya vijana waliorudi nchini Liberia wameambia BBC kuwa hawakulishwa vizuri, walilipwa kwa nadra sana na hawakupokea matibabu kutoka kwa klabu hiyo licha ya kuambukizwa malaria na homa ya tumbo kwasababu ya hali ilivyo.
Mmoja hata ameelezea kuwepo katika klabu hiyo ya Champasak, iliyozinduliwa mapema mwaka huu kuwa 'sawa na utumwa'.
"Hii ni hali ya dharura sana,'' Stephane Burchkalter,afisa wa FIFPro ameambia BBC.
"Inashtusha kwa FIFPro kuwa klabu kutoka Laos, ambayo - bila kuikosea heshima - ni nchi ndogo sana ya soka imewavutia wachezaji (ISHIRINI) walio chini ya umri kutoka Liberia bila FIFA kujua.''
Katika taarifa, FIFPro imesema kuwa wanashuku hiki ni kionjo tu ya hali ilivyo.
Shirika moja lisilo la kiserikali (<http://www.footsolidaire.org/>), linakisia kuwa takriba vijana wachezaji wa soka 15,000 wa umri mdogo wanasafirishwa kutoka Afrika Magharibi kila mwaka - wengi wao kinyume cha sheria.
FIFPro pia imetoa wito kwa FIFA ichukua hatua dhidi ya shirikisho la soka la Laos ambalo kufikia ssa limesindwa kuiadhibu klabu ya Champasak kwa kukiuka kanuni zake.
Ushahidi wa vilabu vinavyovunja sheria za kuwasajili wachezaji chini ya umri wa miaka 18 ni nadra sana japo klabu ya Barcelona imekutikana na hatia hii na imepewa marufuku ya miezi 14 ya kuwanunua wachezaji.
Wakati uo huo wazazi wa watoto 12 wamejikuta katika matatizo ya kifedha baada yakuchukua mikopo kugharamia $550 kuwasafirisha wanao mjini Laos. Mojawepo ya kesi hizo iko mikononi mwa polisi.
Kuna nafasi tatu pekee ambapo sheria hii ya FIFA ya kuwasafirisha wachezaji chini yamiaka 18 inaweza kutumika na zote hazitumika hapa
 
 
Blogger Templates