Social Icons

Jumanne, 1 Julai 2014

WAKATI KOMBE LA DUNIA LINAENDELEA DIEGO COSTA ATUA DARAJANI.




Chelsea wamethibitisha kumsajili rasmi Diego Costa baada ya kufikia makubaliano 
na Atletico Madrid.
Chelsea ilitaka kukamilisha usajili huo kabla ya
Kombe la Dunia kwa pauni milioni 32. Jambo hilo halikufanikiwa lakini sasa mkataba 
umefikiwa. Taarifa iliyotolewa imesema: "Chelsea inathibitisha kufikia 
makubaliano na Atletico Madrid kwa ajili ya uhamisho wa 
Diego Costa". Chelsea walikuwa wamekubali kulipa ada ya uhamisho 
na Diego Costa mwenyewe aliwaambia Atletico hamu yake ya kuondoka, 
lakini mkataba ulikuwa mgumu kufikiwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates