Social Icons

Jumatatu, 28 Julai 2014

VIONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WAFIKISHWA MAHAKAMANI KINONDONI KWA KESI YA KUTUPA MAITI ZA WATU HUKO BUNJU


 
 Watuhumkiwa wakiwa katika gari la polisi .
Viongozi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) cha Dar es salaam wamefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kinondoni leo wakikabiliwa na mashtaka ya kutupa ovyo viungo vya binadamu. Wakati taarifa kamili ikiandaliwa hebu jionee taswira hizi walipofikshwa mahakamani leo
 
 
 Watuhumiwa wakipanda gari baada ya kusomewa mashitaka

 
 
 Watuhumiwa wakitoka mahakamani baada ya kusomewa mashitaka
 
 
Watuhumiwa wakiwa wanasubiri kuingia mahakamani.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates