Social Icons

Jumamosi, 26 Julai 2014

BASI LA HOOD LAPATA AJALI MBAYA LEO LIKITOKEA MBEYA.


Muda mchache baada ajali kutokea 
 Askari wa usalama wa barabarani wakiwa wamefika eneo la tukio  na baadhi ya Mashuhuda wakishuhudia ajali hiyo
 Basi la Hood limepata ajali asubuhi hii likitoka Mbeya haijafahamika mara moja lilikuwa linaelekea wapi na haijafahamika kama kuna watu waliojeruhiwa, endelea kufutilia hapa kupata taarifa kamili hii ni taarifa ya awali. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates