Social Icons

Alhamisi, 17 Julai 2014

Sasa Gaal yutayari kuipiga msasa Man U


Man U imevutiwa na ukufunzi makini wa Van Gaal, lakini je ataweza kuirudisha M U kileleni?
Huku ushabiki na mbwembwe za kombe la dunia zikibaki kumbukumbu,ushabiki sasa unarudi vilabuni, wana- Manchester United, wanamwangalia kwa karibu kocha wao mpya Louis van Gaal, amekuja na miujiza gani?
Alipowasili kwenye uwanja wa mazoezi Carrington amesema hana jipya zaidi ya kujenga mshikamano zaidi miongoni mwa wachezaji.
'Ni lazima tuimbe wimbo huohuo ulioisaida timu ya Uholanzi ililowaezesha kukaribia ushindi wa kombe la dunia na kuibuka nafasi ya tatu kwa kuwafunga wenyeji Brazil' amesiitiza
Kombe la dunia Brazil lilikuwa jukwaa la kupima busara ya Man U kumsajili kocha Gaal





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates