Social Icons

Jumatatu, 21 Julai 2014

MCHEZAJI WA MAN UTD PATRICE EVRA AENDA JUVENTUS


Patrice Evra amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United kwenda Juventus. Beki huyo wa kushoto kutoka Ufaransa amekaa Old Trafford tangu mwaka 2006. Manchester United ime tweet ikisema: Patrice Evra ameondoka #mufc kujiunga na Juventus. Kila mmoja katika klabu hii anamshukuru kwa miaka yake mingi ya huduma bora aliyotoa
Photo: Hatimaye Man United wamethibitisha kuondoka kwa Patrice Evra kwenda Juventus

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates