Social Icons

Jumatano, 4 Juni 2014

MKUU WA MKOA WA DAR ANAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON



























Jeneza lenye mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' likiwa Viwanja vya Leaders tayari kwa shughuli za kuagwa.


















Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (katikati) akiwa na Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba (wa kwanza kushoto) na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere (wa pili kulia) wakisubiri kuongoza shughuli za kuaga mwili wa Tyson.




Aliyekuwa mke wa marehemu, Yvonne Cherry 'Monalisa' (kulia) akilia kwa simanzi pamoja na mwanae aliyezaa na marehemu Tyson, Sonia (katikati).
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates