Social Icons

Jumatatu, 9 Juni 2014

ENGLAND WATUA BAZIL NA ULINZI MKALI WA JESHI

Keeping guard: Brazilian military line up outside the Royal Tulip hotel ahead of England's arrival
Ulinzi: Wanajeshi wa Brazil wakiwa wamejipanga mstari nje ya hotel ya Royal Tulip wakati England wanawasili

Wamewasili: Kikosi cha England baada ya kuwasili Rio de Janeiro
KIKOSI cha England kimetuz Brazil leo baada ya safari ya saa nane na nusu angani tayari kwa Kombe la Dunia.
Vijana wa Roy Hodgson waliwasili majira ya saa 8.30 mchana mjini Rio de Janeiro baada ya kupaa katika anga ya Florida, Marekani usiku wa jana.
Baada ya kutua timu hiyo liana safari nyingine ya saa moja kuelekea hotel ini kwao, karibu na Ipanema Beach.
Three Lions: England stars Wayne Rooney and Frank Lampard walk down the steps of the plane after landing

Three Lions: England stars Wayne Rooney and Frank Lampard walk down the steps of the plane after landing

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates