Social Icons

Jumapili, 29 Juni 2014

HAKUNA CHA KUSEMA ZAIDI YA HONGERA HATA KAMA HATA CHUKUA TUZO ALIPOFIKA NI PAKUBWA.



Miguu ya Diamond Platnumz akiwa amesimama katika nyota yake iliyotengenezwa kwaajili ya msanii huyo kutoka Tanzania. Diamond anakuwa msanii wa kwanza kutoka nchini ambaye amepata mafanikio mpaka kupata 
nyota yake binafsi huko nchini Marekani. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates