Social Icons

Jumamosi, 30 Novemba 2013

RAIS KIKWETE APOKEA KOMBE LA DUNIA JIJINI MWANZA JANA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilifunua Kombe la Dunia katika uwanja wa michezo Kirumba mjini Mwanza jana jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akianza kulinyanyua Kombe la Dunia katika uwanja wa michezo Kirumba mjini Mwanza jana jioni. Kombe hilo limerejea jijini Dar es Salaam na leo wananchi watapata fursa ya kupiganalo picha.


 

Hapa ni furaha tu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates