Social Icons

Jumanne, 19 Novemba 2013

PATA PICHA, MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAINGII SIKU YA PILI WAAMUA KUFUNGA MABANGO YA KUPINGA MASHINE ZA EFD








Katika hali ya kuonyesha kwamba wafanyabiashara wa eneo la kariakoo hawataki wala kusikia kuhusu mashine za T.R.A,Wafanyabiashara hao wameamua kufunga mabango katikati ya mitaa yakiwa na ujumbe wa kupinga matumizi ya mashine hizo,ONAVIEWS.BLOG ilipita mitaa mbali mbali Kongo,Mchikichi,Swahili,Kipata,Uhuru na mingine.

Leo ni siku ya pili kwa wafanyabiashara hao kugoma kufanya biashara,Swali la msingi je Serikali inaonaje hali hii ya wanainchi kukosa huduma?na pia huu ni mkoa wa nne sasa baada ya Mbeya,Morogoro na Mtwara.picha zote na 0naviews.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates