Social Icons

Ijumaa, 22 Novemba 2013

HUYU NDIYE DORIA TILLIER ALIYE HADI KUTANGAZA UTUPU KWENYE TV IKIWA TIMU YAKE YA FRANCE ITABADILI MATOKEO

Mwanadada Doria Tillier ametekeleza ahadi yake ya kutangaza taarifa ya habari ya hali ya hewa kwenye kituo kimoja cha Televisheni akiwa uchi.
 
Mwanadada huyo alitoa ahadi kama Ufaransa itafanikiwa kurudisha mabao 2 waliyokuwa wamefungwa na Ukraine kwenye mchezo wa kwanza wa kufuzu fainali za kombe la Dunia basi angetangaza taarifa ya habari akiwa kwenye hali ya utupu.
 
Kwenye mchezo wa marudiano Ufaransa ilifanikiwa kuitandika Ukraine mabao 3-0 na kufanikiwa kukata tiketi ya kwenda Brazil mwakani.

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates