Social Icons

Jumapili, 17 Novemba 2013

MWANAMZIKI WA BONGO FLEVA,AFANDE SELE AJIUNGA RASMI CHADEMA, AKABIDHIWA KADI

Selemani Msindi 'Afande Sele'.
MWANAMUZIKI mkongwe wa Hip hop na Bongo Fleva kutoka mkoani Morogoro, ambaye pia ni mfalme wa Rymes, Selemani Msindi 'Afande Sele' muda mfupi uliopita amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kukabidhiwa kadi ya chama hicho na Powell Mfinanga wakati wa mkutano mkubwa uliofanyika katika kata ya Mafiga na Misufini mkoani Morogoro!
Mwanamuziki huyo toka zamani alikuwa na nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Morogoro kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 yamezekana ndiyo kaanza safari rasmi leo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates