Social Icons

Jumamosi, 9 Novemba 2013

JUMA KASEJA ATUA RASMI YANGA KWA MIL 40,JE BATEZI ATAKUWA NA NAMBA TENA MAONI?

Golikipa wa timu ya Taifa na aliyekuwa golikipa wa Simba msimu uliopita, Juma Kaseja akitia saini mkataba wa kuichezea Yanga kwenye mzunguko wa pili utaonza Januari mwakani, Kaseja amesaini kuichezea Yanga kwa shs Mil. 40.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates