Social Icons

Jumamosi, 30 Novemba 2013

Rais Jakaya Kikwete Apewa Rasmi Uchifu(Chifu Ng’humbu Banhu)Bariadi

 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amekalia kigoda cha Uchifu wa Bariadi baada ya kuwa Chifu Ng’humbu Banhu mjini Bariadi Mkoa mpya wa Simiyu jana .Rais Kikwete yupo katika Ziara ya Kikazi Mkoa mpya wa Simiyu
Mmoja wa machifu wa Kisukuma eneo la Bariadi ambaye pia ni Mbunge wa Bariadi Mashariki Andrew Chenge akimvika vazi la kijadi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa hafla ya kumpa uchifu Rais Kikwete iliyofanyika mjini Bariadi,Mkoa mpya wa Simiyu  jana .Rais Kikwete alipewa jina la kisukuma la Chifu Ng’humbu Banhu lenye maana ya Anayekumbuka na kuthamini Watu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates