Social Icons

Jumatatu, 18 Novemba 2013

CAMEROON YAFUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA YA MGALAGAZA TUNISIA



Cameroon imefanikiwa kufuzu kucheza Kombe la Dunia baada ya kuichapa Tunisia kwa mabao 4-1.



Mechi ya kwanza timu hizo zilitoka sare bila kufungana na jana Cameroon wakaonekana wako safi zaidi wakiwa nyumbani.



Mabao yalifungwa na Pierre Webo, Moukadjo na mkongwe Jean Makoun akafunga mawili.



Cameroon imekuwa timu ya tatu ya Afrika kujihakikishia kufuzu baada ya Ivory Coast na Nigeria.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates