Social Icons

Alhamisi, 11 Desemba 2014

Wanajeshi wauawa Afghanistan


Polisi nchini Afghnaistan wamesema wanajeshi sita wameuawa katika shambulio la bomu mjini Kabul.
Wamesema shambulio hilo, lakujitoa mhanga lililenga basi lililokuwa limejaza wanajeshi mashariki mwa mji huo.
Wapiganaji wa Taliban wamedai kuhusika na shambulio hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates