KOCHA LOUIS VAN GAAL AMEIBUKA NA KUPEWA TUZO YA KOCHA BORA WA MWAKA WA UHOLANZI BAADA YA KUIFIKISHA NCHI HIYO KWENYE NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2014. MSHAMBULIAJI WAKE, ROBBEN VAN PERSIE AMEPEWA TUZO YA BAO BORA, LILE ALILOFUNGA KWENYE KOMBE LA DUNIA AKIPAA KAMA NDEGE NA MSHAMBULIAJI WA BAYERN MUNICH, ARJEN ROBBEN AMETEULIWA KUWA MWANAMICHEZO BORA WA MWAKA WA UHOLANZI. TUZO HIZO ZIMEFANYIKA JUZI USIKU NCHINI HUMO.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 19, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 19, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
Saa 3 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni