KOCHA LOUIS VAN GAAL AMEIBUKA NA KUPEWA TUZO YA KOCHA BORA WA MWAKA WA UHOLANZI BAADA YA KUIFIKISHA NCHI HIYO KWENYE NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2014. MSHAMBULIAJI WAKE, ROBBEN VAN PERSIE AMEPEWA TUZO YA BAO BORA, LILE ALILOFUNGA KWENYE KOMBE LA DUNIA AKIPAA KAMA NDEGE NA MSHAMBULIAJI WA BAYERN MUNICH, ARJEN ROBBEN AMETEULIWA KUWA MWANAMICHEZO BORA WA MWAKA WA UHOLANZI. TUZO HIZO ZIMEFANYIKA JUZI USIKU NCHINI HUMO.
Mambo 7 ya kushangaza kuhusu utumbo, na kwanini unachukuliwa kuwa "ubongo
wa pili wa mwanadamu"
-
Je! unajua ni sehemu gani ya mwili wako iliyo na niuroni zaidi kuliko uti
wa mgongo wako na inafanya kazi bila kutegemea mfumo wako mkuu wa neva?
Dakika 17 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni