Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 19, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 19, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
Saa 3 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni