Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
Mambo 7 ya kushangaza kuhusu utumbo, na kwanini unachukuliwa kuwa "ubongo
wa pili wa mwanadamu"
-
Je! unajua ni sehemu gani ya mwili wako iliyo na niuroni zaidi kuliko uti
wa mgongo wako na inafanya kazi bila kutegemea mfumo wako mkuu wa neva?
Dakika 20 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni