Lori la mafuta limekata tela lenye namba za usajili T 172ABT na kupibnduka jioni hii katika makutano ya barabara za Nyerere na Mandela jijini Dar es Saam kwa kile kilichoelezwa na baadhi ya mashuhuda kuwa ni mwendo kasi aliyokuwa nao dereva wa lori hilo aliyekuwa akikata kona akitokea mjini Barabara ya Nyerere kwenda barabara ya Kawawa.
FCC YAWANOA WAFANYABIASHARA DODOMA KUHUSU MADHARA YA BIDHAA BANDIA
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Salvator
Chuwa,akizungumza wakati wa semina maalum kwa wafanyabiashara mkoani Dodoma
yenye lengo la ...
Saa 5 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni