AAR Healthcare inapenda kukujulisha kuwa kutakuwa na kampeni ya kitaifa ya chanjo ya surua na rubella kuanzia tarehe18 hadi 24 oktoba kituo cha City centre kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi na mbili jioni. chanjo zitakazotolewa ni surua rubella kwa watoto wa umri wa miezi 9 hadi miaka 15, vitamin A watoto wa umri wa wa miezi 6 hadi miaka 4, dawa za minyoo kwa watoto wa umri wa mwaka 1 hadi miaka4 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima wenye umri wa zaidi ya miaka 5na kuendelea. Hakikisha familia yako inapata chanjo na dawa hizi muhimu kwa ajili ya kujilinda na magonjwa hatari na kuboresha afya yako.
Watu 32 wapoteza maisha baada ya mgodi wa Kobalti kuporomoka DRC
-
Ajali hiyo ilitokea baada ya milio ya risasi inayodaiwa kuzuka kutoka kwa
maafisa wa usalama waliokuwa wakilinda eneo hilo, na kusababisha wachimbaji
kutum...
Dakika 4 zilizopita

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni