Social Icons

Jumapili, 26 Oktoba 2014

PICHA YA SIKU

Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates