![]()
Amber Rose na Wiz Khalifa, wanandoa ambao wametengana hivi karibuni bado wanaonesha kuna mapenzi kati yao na sio maadui kama wengi walivyodhani.
Jumanne asubuhi, Wiz Khalifa alimtumia Amber Rose ujumbe wa kumtakia heri katika siku yake ya kuzaliwa kupitia Twitter.
“Happy Birthday Amb,” alitweet Wiz Khalifa, ujumbe uliopokelewa vizuri kwa shukurani na Amber Rose.
“Thank u Sweetheart #IstillLoveYouNoMatterWhat.” Alitweet Amber Rose.
Mwanamitindo huyo ambaye alikuwa anatumiza miaka 31 alisherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa na marafiki zake.
Hivi karibuni Wiz Khalifa amekuwa akionekana na wasichana warembo tofautitofauti katika maeneo ya Las Vegas na Hollywood.
|
FCC YAWANOA WAFANYABIASHARA DODOMA KUHUSU MADHARA YA BIDHAA BANDIA
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Salvator
Chuwa,akizungumza wakati wa semina maalum kwa wafanyabiashara mkoani Dodoma
yenye lengo la ...
Saa 6 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni