Social Icons

Alhamisi, 30 Oktoba 2014

Bunge lachomwa moto pamoja na nyumba za wabunge, rais agoma kuachia madaraka

Burkina FA
Mbali na maafa makubwa yaliyojitokeza ikiwa ni pamoja na majengo ya bunge kuchomwa moto pamoja na nyumba za wabunge, rais aliye madarakani amegoma kuachia madaraka yake.

Blaise Compaore rais wa Burkina Faso aliyekaa madarakani kwa miaka 27 anatajwa kuwa mmoja wa marais waliokaa madarakani kwa kipindi kirefu zaidi na bado anasisitiza kuwa ana miezi 12 zaidi ya kuendelea kuwepo madarakani kabla ya kukabidhi madaraka kwa rais ajaye.
Ban Ki-moon anatarajiwa kuwasili nchini siku ya leo kwa ajili ya kutafuta suluhu ya machafuko hayo.
Chanzo cha machafuko hayo kinatajwa kuwa ni kitendo cha bunge kutaka kufanya mabadiliko ya katiba ambayo yangemfanya Blaise Compaore kubakia madarakani kwa kipindi kingine zaidi.
Burkina FBurkina FAS
Burkina-Faso-600x337
Taarifa zinasema jeshi limelazimika kuongoza nchi hiyo ili kurejesha utulivu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates