Social Icons

Jumamosi, 11 Oktoba 2014

DALILI ZA UPUMGUFU WA MAJI MWILINI.

Dalili zifuatazo zitakusaidia kugundua kama una upungufu wa maji mwilini.

1. Kuisi kiu mara kwa mara.
2. Kutopata haja ndogo au haja ndogo yenye rangi tofauti.
3. Ngozi kusinyaa au midomo kuwa mikavu. 
4. Kuchoka mara kwa marana maumivu ya kichwa
5. Kulia bila kutoa machozi kwa watoto wadogo.
6. Kukosa choo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates