Social Icons

Ijumaa, 29 Agosti 2014

XABI ALONSO ATUA UJERUMANI KUSAINI BAYERN MUNICH

 Kiungo Xabi Alonso ametua jijini Munich, Ujerumani tayari kufanya vipimo na baadaye kumalizana na Bayern Munich.


Alonso anatarajia kujiunga na Bayern kwa kitita cha pauni milioni 7.5.
Kiungo huyo mkabaji mwenye miaka 32 alijumuika na mashabiki kwa kusaini autograph kuonyesha tayari amewasili na atakuwa nao.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates