Social Icons

Alhamisi, 7 Agosti 2014

BENZEMA REAL MADRID MPAKA 2019

Staying put: Real Madrid forward Karim Benzema has committed himself to the club until 2019

Bado nipo nipo kwanza!: Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema, ameamua kuongeza mkataba mpaka mwaka 2019. 
KARIM Benzema ameamua kuzeekea Real Madrid baada ya kuongeza mkataba wake mpaka mwaka 2019.Nyota huyu alikuwa anahusishwa kujiunga na baadhi ya klabu za ligi kuu, lakini biashara imekatika ghafla na sasa Mfaransa huyo ataendelea kudunda dunda Santiago Bernabeu.Arsenal, Liverpool na Tottenham Hotspur zilikuwa miongoni mwa klabu nyingi za ligi kuu England zilizokuwa zikihusishwa kumsajili mshambuliaji huyo mwenye miaka 26, lakini mchezaji huyo wa zamani wa Lyon hatafanya baishara ya kucheza England msimu ujao.
Wanted: Benzema had been linked with a move to Liverpool, Tottenham or Arsenal this summer
Aliwindwa: Benzema alihusishwa kujiunga na klabu za  Liverpool, Tottenham au Arsenal majira haya ya kiangazi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates