Social Icons

Jumatano, 30 Aprili 2014

Baada ya Didier Kavumbagu,DUMAYO asaini Azam,ANGALIA PICHA AKISAINI.

Timu ya Azam bado inaendelea na usajili wake wa wachezaji ambapo baada ya Didier Kavumbagu aliyekua akiichezea Yanga kupewa mkataba wa mwaka mmoja, sasa wamemuongeza mchezaji mwingine kikosini Azam FC.

IMG-20140430-WA0003
Frank Domayo ndio kiungo mpya aliyesainiwa na Azam Fc kwa mkataba wa miaka miwili na kujiunga na mabingwa wapya wa Tanzania Bara.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates