Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
MFUKO WA WCF WATAKIWA KUONGEZA WIGO WA WANACHAMA
-
-Kamati ya Bunge Yaupongeza Mfuko huo kutoa fidia kwa Wafanyakazi
Na; Mwandishi Wetu - Dodoma
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii ime...
Dakika 9 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni