Social Icons

Jumanne, 22 Aprili 2014

CHEKI PICHA ZA AJALI YA BUS LA LUHEGE ILIOTOKEA JANA MAENEO YA MASANZA KONA JIJINI MWANZA IMEUA.samahani kwa picha mbaya.


Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza


My Blogger Tricks

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates