Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
Mambo 7 ya kushangaza kuhusu utumbo, na kwanini unachukuliwa kuwa "ubongo
wa pili wa mwanadamu"
-
Je! unajua ni sehemu gani ya mwili wako iliyo na niuroni zaidi kuliko uti
wa mgongo wako na inafanya kazi bila kutegemea mfumo wako mkuu wa neva?
Dakika 29 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni