Ajali hii mbaya imetokea jana katika kijiji cha Masanza Kona Mkoani Mwanza. Chanzo cha Ajali hio ni Mwendo Kasi wa Basi ilo ambao ulimshinda dereva na kugonga nyumba moja iliokua pembezoni mwa Barabara iyo na kumua mtu mmoja aliekua ndani na Abiria wengine Tisa Majerui walikimbizwa hospital ya Bugando Jijini Mwanza
Watu 32 wapoteza maisha baada ya mgodi wa Kobalti kuporomoka DRC
-
Ajali hiyo ilitokea baada ya milio ya risasi inayodaiwa kuzuka kutoka kwa
maafisa wa usalama waliokuwa wakilinda eneo hilo, na kusababisha wachimbaji
kutum...
Dakika 4 zilizopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni