Producer anayewani tuzo ya mtayarishaji bora wa muziki wa bendi kwenye KTMA 2014 amepata ajali mbaya na kuumia kichwani huku bajaj aliyokuwa amepanda kuharibika sana. C9 amewai kutengeneza ngoma nyingi kama Mama Ntilie, nyimbo nyingi za marehemu Sharo millionea na nyingine. Hivi sasa anaendelea vizuri hadi anajibu pole anazopewa na mashabiki zake kwenye mtandao wa instagram.
Usyk amzidi maarifa Tyson Fury na kutawazwa bingwa wa dunia
-
Tyson Fury alishindwa kwa pointi nchini Saudi Arabia huku Oleksandr Usyk
akiwa bingwa wa kwanza wa ndondi za uzani mzito zaidi kushikilia mikanda
minne dun...
Saa 3 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni