Social Icons

Jumatano, 23 Aprili 2014

TAZAMA MAFURIKO HUKO KYELA ENEO LA KAJUJUMELE YALIVYO LETA SHIDA, MH. MWAKYEMBE(MB) ATUA HUKO .


Mbunge wa Kyela Dr. Mwakyembe akikagua Barabara iendayo Bandari ya Kiwira Muda huu
 Baadhi ya watu wakigangaika kupita juu ya maji hayo yaliyotokana na Mafuriko

 Baadhi ya watu mbalimbali wakiwa wanashuhudia Mafuriko hayo muda huu
 Gari Likiwa limekwama katika tope lililotokana na Mafuriko hayo, hili ni eneo la Bujonde 
Picha kwa Hisani ya Kaka yetu mdau Mkubwa wa Mbeya yetu Blog Felix Mwakyembe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates