PLEASE PRAY FOR KENYA,
WATU 43 WAMEPOTEZA MAISHA NA ZAIDI YA WATU 143 WAMEJERUHIWA VIBAYA,MPAKA SASA WAVAMIZI BADO HAWAJA KAMATWA ILA JUHUDI ZA DHATI ZINAENDELEA NA TAYARI JESHI LA KENYA LIME FANIKIWA KUFIKA OROFA YA PILI.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 19, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 19, 2024,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ken...
Dakika 30 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni