BAADA YA MIAKA 16,ETO'O SAMWELI.........(MCHEZAJI)
SAMUEL ETO'O ASTAFU KUICHEZEA CAMEROON
Mchezaji wa chelsea Samuel Eto'o na timu ya taifa ya cameroon upande wa ushambuliaji ameachana rasmi na soka la kimataifa.Akiwa na maana amestaafu kuchezea timu ya taifa ya Cameroon,sababu za kustaafu ameelezea kuwa ni za kifamilia,lakini wachambuzi wa mambo wanasema ni kutokana na kutokuelewana vizuri na kocha wake pamoja na uongozi wa chama mpila cha nchi yake.
"Kazi yetu ni kuua tu"
-
Mwezi Oktoba, picha zinaonyesha mwanaume akiwa amefungwa mikono na miguu na
kuning'inizwa kichwa chini miguu juu kwenye minyororo ya chuma.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
SIMULIZI YA KUSISIMUA-NANI KACHUKUA SURA YANGU?
-
MTUNZI NA MWANDISHI MWL YUSUPH ABEL NG'AHALA.
Sim no, 0755683295/Watsap. Instagram@ mwalim_yuu.
SEHEMU YA KWANZA.
Kwanza naomba nianze kwa kujit...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni