KILICHO TOKEA BUNGENI LEONaibu Spika wa Bunge Job Ndugai akimwamuru Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kukaa chini, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Wabunge wa Chadema wakiwa wamesimama kukaidi amri ya Naibu spika, Job Ndugai ya kuwataka wakae chini , Bungeni Septemba 5, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Wabunge wa CHADEMA wakipambana na Polisi, Bungeni Mjini Dodoma Septemba 5,2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Askari wa bunge la jamhuri wa Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mhe mbunge wa Chadema jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi a.k.a Suga ndani ya bunge wakati akitolewa ndani ya ukumbi wa bunge hilo mjini Dodoma leo.
Kwa Undani
-
Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi
na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au
swala...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
SIMULIZI YA KUSISIMUA-NANI KACHUKUA SURA YANGU?
-
MTUNZI NA MWANDISHI MWL YUSUPH ABEL NG'AHALA.
Sim no, 0755683295/Watsap. Instagram@ mwalim_yuu.
SEHEMU YA KWANZA.
Kwanza naomba nianze kwa kujit...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni