Social Icons

Alhamisi, 26 Septemba 2013

HUU NDIO UWANJA WA TAIFA WA SOKA WA SOMALIA UNAVYOONEKANA

https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/q71/532078_631757903511063_496276965_n.jpgUwanja wa Soka wa Taifa wa Somalia unavyoonekana kwa sasa. Kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kimepiga marufuku soka kuchezwa kwenye Uwanja huo na sehemu nyingine yoyote ya Mogadishu tangu mwaka 2008. Serikali ya Somalia juzi imeingia mkataba na kampuni ya moja ya China
kukarabati miundombinu ya Uwanja huo lakini imeripotiwa kwamba kampuni hiyo inaogopa kushambuliwa na inasita kuanza kazi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates