Social Icons

Jumatano, 10 Septemba 2014

MANCHESTER UNITED KUANIKA REKODI YA MAPATO


1410277795111_wps_10_Manchester_United_vice_ch
 Makamu mwenyekiti wa United Edward Woodward (katikati), Joel Glazer (kushoto) na Richard Arnold (kulia)
MANCHESTER wanatarajia kutangaza rekodi ya mapato leo ambayo inakadriwa kufikia paundi milioni 420 kwa msimu uliopita, huku wakipata faida ya paundi milioni 25 kutokana na mauzo ya mamilioni ya jezi duniani kote.
Mapato hayo ya mwaka pia yatahusisha fidia waliyomlipa kocha David Moyes na benchi lake la ufundi, lakini fedha hizo hazitahusisha hasara yoyote waliyoipata baada ya kushindwa kufuzu michuano ya UEFA kwa msimu huu.
Jezi ya heshima Old Trafford: Angel di Maria ndio mchezaji aliyeamua kuvaa jezi ya kipee namba 7 Manchester United
Boost: Di Maria looked impressive on his Manchester United debut and will improve them on and off the pitch
Taarifa zinafafanua kuwa mapato ya jumla yanakadriwa kuwa paundi milioni 429 hadi 432, na ni ongezeko la asilimia 18 hadi 19.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates