Social Icons

Jumanne, 30 Septemba 2014

Maandamano ya CHADEMA, UKAWA jijini Dar es Salaam

Wananchi wamefanya maandamano huko Manzese jijini Dar es Salaam wakipinga kile wanachokiita ni wizi unaoendelea ndani ya bunge Maalum la Katiba ikiwa ni mwendelezo wakutimiza tamko la Mwenyekiti wa CHADEMA na UKAWA la kufanya maandamano nchi nzima kupinga mchakato huo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates