Social Icons

Jumatano, 17 Juni 2015

KIBAKA ANUSURIKA KUUWAWA DODOMA MJINI BAADA YA JARIBIO LA KUTAKA KUIBA BASKELI

Polisi wakijaribu kumnusuru kijana huyu.....
Dakika Mbili za kipigo kwake zilikuwa ni ngumu sana, Ni muda mchache lkn maumivu yake ni zaidi ya miezi mitatu......... Tukio hili limetoke muda mchache uliopita nnje ya ofisi ya Star times mkabala na Benk ya NMB Dodoma,




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates