Social Icons

Jumatano, 24 Juni 2015

Hatutavumilia tishio la usalama

Francois Hollande
Serikali ya Ufaransa sasa imemtaka balozi wa Marekani nchini humo kufika mbele yake kufuatia madai kwamba Marekani iliwachunguza watangulizi wake wawili.
Mtandao wa Wikileaks unasema kuwa kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA kilimpeleleza rais Hollande,Nicholas Sarkozy na Jacques Chiraq kati ya mwaka 2006-12.
null
Marais wa Ufaransa
Bwana Hollande ameitisha kikao cha dharura na kusema Ufaransa haitavumilia vitendo ambavyo ni tishio kwa usalama wake.
Hatahivyo Marekani imesema kuwa haitatoa tamko kuhusu madai fulani ya kiintelijensia.
Ned Price ambaye ndio msemaji wa Baraza la kitaifa la usalama nchini Marekani ameongozea kwamba Marekani hailengi na wala haitalenga mawasiliano ya Hollande.
null
Wikilieaks
Shirika la NSA lilishtumiwa kwa kumpeleleza kansela wa Ujerumani Angela Merkel pamoja na viongozi wa Brazil na wale wa Mexico.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates