Ashley Young amefunga ndoa na mpenzi wake ambae walikua pamoja tangu wapo watoto shuleni. Young aliwai kughailisha siku mbili kabla ya harusi yao mwaka 2011.Shemeji yetu anaitwa Nicky Pike unaambiwa wawili hawa hawajaanza kupenda wakati Ashley amekua superstar, mapenzi yao yapo tangu kitambo. Harusi yao imehudhuliwa na watu mbalimbali akiwe Fabrice Muamba.
MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA WAWASILISHA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI
WA SHUGHULI ZA MAENDELEO KWA NGAZI YA KATA
-
Na Nasra Ismail, Geita
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Februari 3,2026
katika Mkutano wake wa Kawaida wa robo ya pili kwa mwaka 202...
Saa 1 iliyopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni