Ashley Young amefunga ndoa na mpenzi wake ambae walikua pamoja tangu wapo watoto shuleni. Young aliwai kughailisha siku mbili kabla ya harusi yao mwaka 2011.Shemeji yetu anaitwa Nicky Pike unaambiwa wawili hawa hawajaanza kupenda wakati Ashley amekua superstar, mapenzi yao yapo tangu kitambo. Harusi yao imehudhuliwa na watu mbalimbali akiwe Fabrice Muamba.
WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WANAOTEKELEZA AFUA ZA WANAWAKE
-
-Awataka watumie taarifa za na takwimu za sensa kuandaa mipango yao
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza afua
mbalimbali za wana...
Dakika 21 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni