Ashley Young amefunga ndoa na mpenzi wake ambae walikua pamoja tangu wapo watoto shuleni. Young aliwai kughailisha siku mbili kabla ya harusi yao mwaka 2011.Shemeji yetu anaitwa Nicky Pike unaambiwa wawili hawa hawajaanza kupenda wakati Ashley amekua superstar, mapenzi yao yapo tangu kitambo. Harusi yao imehudhuliwa na watu mbalimbali akiwe Fabrice Muamba.
Watu 32 wapoteza maisha baada ya mgodi wa Kobalti kuporomoka DRC
-
Ajali hiyo ilitokea baada ya milio ya risasi inayodaiwa kuzuka kutoka kwa
maafisa wa usalama waliokuwa wakilinda eneo hilo, na kusababisha wachimbaji
kutum...
Saa 1 iliyopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni