Ashley Young amefunga ndoa na mpenzi wake ambae walikua pamoja tangu wapo watoto shuleni. Young aliwai kughailisha siku mbili kabla ya harusi yao mwaka 2011.Shemeji yetu anaitwa Nicky Pike unaambiwa wawili hawa hawajaanza kupenda wakati Ashley amekua superstar, mapenzi yao yapo tangu kitambo. Harusi yao imehudhuliwa na watu mbalimbali akiwe Fabrice Muamba.
MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT. SAMIA AONGOZA HARAMBEE YA KUCHANGIA FEDHA ZA
KAMPENI
-
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongoza viongozi, wanachama, wapenzi,
wakerek...
Saa 5 zilizopita
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni