Ashley Young amefunga ndoa na mpenzi wake ambae walikua pamoja tangu wapo watoto shuleni. Young aliwai kughailisha siku mbili kabla ya harusi yao mwaka 2011.Shemeji yetu anaitwa Nicky Pike unaambiwa wawili hawa hawajaanza kupenda wakati Ashley amekua superstar, mapenzi yao yapo tangu kitambo. Harusi yao imehudhuliwa na watu mbalimbali akiwe Fabrice Muamba.
Dira Ya Dunia
-
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na
mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dakika 35 zilizopita





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni