Social Icons

Jumapili, 16 Novemba 2014

MGOGORO WA KUGOMBEA ENEO LA MALISHO, SIHA-KILIMANJARO KATIKA PICHA

 



Jeshi la Polisi likiwa limeimarisha ulinzi katika kijiji cha Miti-Mirefu wilayani Siha. 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiliangalia mojawapo la gari la mwekezaji lililochomwa moto katika eneo la Ndarakwai. 
Mwekezaji wa eneo la Ndarakwai wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Peter Jones akizungumza na wanahabari katika eneo la tukio.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates