Social Icons

Jumatano, 12 Novemba 2014

ABIRIA WANASADIKIWA KUFARIKI KATIKA AJALI YA BASI LA KAMPUNI YA WIBONELA LAPINDUKA ASUBUHI

Basi la kampuni ya wibonela lililokuwa likitokea Kahama kuelekea jijini Dar esalaam limepinduka asubuhi hii maeneo ya Phantom kahama baada ya dereva wa basi hilo kushindwa kulimudu basi hilo lilipofika katika kona ya Phantom 
mjini kahama likiwa katika mwendo kasi, bado haijajulikana ni watu wangapi wamepoteza maisha na kujeruhiwa katika ajali hiyo. Taarifa za awali kutoka kwenye tukio ambazo hazijathibitishwa na polisi zinadai watu  wamefariki 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates