Social Icons

Jumamosi, 29 Novemba 2014

BUNGE LAHIRISHWA TENA ASUBUHI HII

 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Anne Makinda akifafanua jambo wakati akiendesha Bunge hilo
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Anna Makinda Amelazimika Kuliahirisha Bunge Asubuhi Kwa mara ya Pili   mara baada ya Kuliahirisha Saa tatu Asubuhi Hadi saa Kumi Jioni  .
Hali hiyo Imetokana na Mazungumzo yanayoendelea kwajili ya Wabunge Kuridhiana Maendekezo ya Kamati ya PAC yaliyokuwa yanataka Baadhi ya Viongozi Kuwajibika.Hali iliyosababisha Bunge hilo kutokuelewana la Kulazimika Kuhairishwa jana Saa nne Usiku.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates