Social Icons

Jumatano, 19 Agosti 2015

Kuachiliwa kwa Pistorius kumepingwa

Mwanariadha Oscar pistorius
Waziri wa sheria nchini Afrika Kusini amepinga uamuzi wa kuachiliwa kwa mwanariadha Oscar Pistorius.
Michael Masutha amasema kuwa uamuzi wa kumuachilia mwanariadha huyo umechukuliwa mapema.
Oscar Pistorius na Reeva Steenkamp
Pistorius amekaa gerezani kwa muda wa miezi kumi baada ya kumuua kwa kumpiga risasi mpenziwe Reeva Steenkamp na alitarajiwa kuachiliwa ili atumikie kifungo chake cha nyumami siku ya Ijumaa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates