Baba wa Kim Kardashian ambaye kwa sasa amebadili jinsi yake na kuwa mwanamke, ‘Caitlyn Jenner’.
New York, Marekani
BABA wa Kim Kardashian ‘Caitlyn Jenner’ ambaye kwa sasa amebadili jinsi yake na kuwa mwanamke anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa sauti ili awe mwanamke aliyekamilika.
BABA wa Kim Kardashian ‘Caitlyn Jenner’ ambaye kwa sasa amebadili jinsi yake na kuwa mwanamke anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa sauti ili awe mwanamke aliyekamilika.

“Kila kitu nimefanikiwa isipokuwa sauti tu na hivi karibuni nitafanya operesheni, nashukuru watoto wangu lakini zaidi ni Kim Kardashian ambaye ananisapoti kwenye kila kitu,” alisema
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni