Social Icons

Alhamisi, 1 Januari 2015

WATU 35 WAFARIKI DUNIA WAKISHEREKEA MKESHA WA MWAKA MPYA UKO NCHINI CHINA

Mwaka Mpya: Maafa China 35 wafariki

Sherehe za kuupokea mwaka mpya 2015 zimeguka kuwa majonzi baada ya watu thelathini na watano kufa kwenye taharuki ya kukanyagana kwenye msongamano wakati wakiiupokea mwaka mpya.
Maafa hayo yametokea katika mji Shanghai ambapo maelfu ya watu walikuwa wamekusanyika ili kuupokea mwaka mpya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
 
Blogger Templates